Monday, December 24, 2012


Baada ya maafande wa Ruvu shooting kushindwa kujipima ubavu na klabu ya Yanga ya Dar es salaam ijumaa ya wiki iliyopita kutokana na kukosekana kwa uwanja wa kuchezea mchezo huo kufutaia uwanja huo kutumika  na Zambia katika maandalizi ya mechi dhidi ya taifa stars, maafande hao wamesema wapo tayari endapo Yanga itawahitaji tena kwa  ajili ya mechi hiyo.
KIKOSI CHA RUVU SHOOTING
Msemaji wa klabu ya Ruvu shooting Masau Bwire amesema kwa sasa wanaendelea na maandalizi ya mzunguko wa pili wa ligi kuu Bara na kocha mkuu Charles Boniface Mkwasa Master anaendelea kuwanoa vijana wake ili kupata mafanikio makubwa ngwe ya lala salama.

Masau amesema kufuatia vijana wao wawili kuihama klabu hiyo, SEIF ABDALAH aliyeelekea Azam fc na Mlinda mlinda mlango wao namba mbili Musa Gharib kumaliza mkataba wake wameamua kuchukua vijana wao waliokuwa katika mafunzo ya jeshi.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video