JKT
RUVU
Wakijiandaa
na duru ya lala salama ya ligi kuu Tanzania bara, maafande wa jeshi la kujenga
taifa wa JKT Ruvu ya mkoani Pwani wamesajil9i wachezaji watatu kwa mujibu wa
mapendekezo ya kocha mkuu wa klabu hiyo Charles Kilinda.
Afisa
habari wa klbu hiyo Jamila Mutabaz amesema miongoni mwa wachezaji hao ni Zahoro
Pazi kutoka Azam na wengine wawili wamewasajili wachezaji wao waliokuwa katika
mafunzo ya kijeshi kama sheria yao inavyowataka.
![]() |
JAMILA MUTABAZI |
Pia
Mutabaz amesema wanaendelea na mazoezi ya kujiandaa na ngwe ya lala salama na
wana imani ya kufanya vizuri mzunguko wa pili.
KIKOSI CHA JKT RUVU |
0 comments:
Post a Comment