Sunday, December 30, 2012



Mabingwa watetezi wa kombe la mapinduzi, klabu ya Azam fc ya Dar es salaam inaendelea na mazoezi ya kujiandaa kutetea ubingwa wao wa Mapinduzi cup, michuano itakayoanza kushika kasi januari mosi na kufikia tamati januari 12 mwakani.
wachezaji wa Azam Fc

Afisa habari wa Azam Jafar Idd Maganga amesema wachezaji wote wapo vizuri na wanaendelea na mazoezi yao baada ya hivi karibuni kutokea nchini Kongo walipotwaa ubingwa wa kombe la Hisani la shirikisho la soka nchini humo.

Idd amesema muda wowote kutoka sasa watatangaza ni lini wanaanza safari ya kuelekea visiwani Zanzibar tayari kwa kuanza kampeni zao za kutetea ubingwa wao.

Pia amewataka mashabiki wa Azam kuwa na imani kwani kikosi chao kipo vizuri na wanajipanga kufanya vizuri kwani itawasaidia kujipanga kwa ajili ya mashindano ya kimataifa na mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video