Tuesday, February 7, 2017

Mabingwa Watetezi Barcelona wanachungulia Fainali ya 4 mfululizo ya Kombe la Mfalme wa Spain, Copa del Rey, wakati Leo wakicheza Mechi ya Pili ya Nusu Fainali na Atletico Madrid huko Nou Camp huku wao wakiwa mbele baada kushinda Mechi ya Kwanza 2-1.
Mchezo huo utaanza saa tano kamili usiku wa leo kwa saa za Afrika Mashariki.
Kwenye Mechi hii, Barca watamkosa Staa wao wa Brazil Neymar ambaye yupo Kifungoni Mechi 1 na pia Nyota wao Lionel Messi anapaswa kujichunga hii Leo kwani akilambwa Kadi ya Njano tu hatacheza Fainali.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video