
Dondoo muhimu
- Chelsea wameshinda mchezo kwa kutoka nyuma kwa mabao mawili kwa mara ya kwanza tangu Agosti 17 2002 dhidi ya Charlton ambapo walishinda 3-2.
- Gary Cahill amefunga mabao matano kwenye mashindano yote tangu Agosti 2015; magoli matatu zaidi ya beki yeyote wa Chelsea.
- Shinji Okazaki amefunga magoli yake mawili kwa Leicester City baada ya kushindwa kufanya hivyo kwenye michezo 13 iliyopita akiwa na Leicester.
0 comments:
Post a Comment