
Kwa ujumla eneo lote la mzunguko linalohusisha viti vya rangi ya Chungwa, Kijani na Bluu watu wataketi kwa Sh. 5,000.
VIP A tiketi yake itanunuliwa kwa Sh. 25,000, wakati VIP B na C kote kila tiketi itauzwa Sh. 20,000.
Tiketi zitaanza kuuzwa mapema siku ya mchezo, Jumamosi katika maeneo ya siku zote, ikiwemo Uwanja wa karume na Uwanja wa Taifa.
0 comments:
Post a Comment