Thursday, March 17, 2016

Baada ya jana usiku Arsenal kukubali kipigo cha bao tatu moja kutoka kwa Barcelona wasanii hawa kwa nyakati tofauti walionyesha hisia zao za maumivu na kutupa lawama za moja kwa moja kwa kocha wa klabu hiyo mzee Wenger.
Kwa upande wake Nay wa mitego alikuwa na haya ya kusema "Acha tu tukalale maana hawa Arsenal watakuja kututia uchizi. Huyu mzee Wenger angekua Tanzania ningeshamchana pumbafu.! Dj White kaka usinipigie simu niache nikapumzike, wewe Kabuka naku block ukiendelea na kelele zako".
Kwa upande wake Roma Mkatoliki alipost picha ikimuonyesha akiwa mtu mwenye masikitiko huku akitizama mechi iliyokuwa ikichezwa jana usiku na kuandika kuwa hakuna kitu au mtu anaye mnyima raha kama Wenger.
Lakini mbali na hawa mashabiki wengi wa Arsenal wamekuwa wakilalamika na malalamiko yao yapo moja kwa moja kwa kocha huyo.
Credit:EATV

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video