
Kwa upande wake Nay wa mitego alikuwa na haya ya kusema "Acha tu tukalale maana hawa Arsenal watakuja kututia uchizi. Huyu mzee Wenger angekua Tanzania ningeshamchana pumbafu.! Dj White kaka usinipigie simu niache nikapumzike, wewe Kabuka naku block ukiendelea na kelele zako".
Kwa upande wake Roma Mkatoliki alipost picha ikimuonyesha akiwa mtu mwenye masikitiko huku akitizama mechi iliyokuwa ikichezwa jana usiku na kuandika kuwa hakuna kitu au mtu anaye mnyima raha kama Wenger.
Lakini mbali na hawa mashabiki wengi wa Arsenal wamekuwa wakilalamika na malalamiko yao yapo moja kwa moja kwa kocha huyo.
Credit:EATV
0 comments:
Post a Comment