Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza kwa klabu yake.
Magoli ya Sergio Aguero, Vincent Kompany na Fernandinho yamepeleka kilio kwa Chelsea dhidi ya Man City katika ushindi wa mabao 3-0, mchezo uliopigwa katika dimba la Etihad.
Chelsea ambao leo walionekana kutepeta hasa katika eneo la kiungo wamekosa tena alama tatu muhimu mara baada ya mchezo wa awali kulazimishwa sare na Swansea katika uwanja wao wa nyumbani.
Dhamna kubwa ilikuwa kwa upande wa Ivanovic ambaye siku ya leo ama hakika atalala na viatu mara baada ya kusumbuliwa vilivyo na winga mpya wa Man City aliyesajiliwa kutoka klabu ya Liverpool Raheem Sterling ambaye kwa siku ya leo alikuwa chachu kubwa ya ushindi wa Man City.
Kwa upande wa Diego Costa leo alibanwa vilivyo na mabeki visiki wa Man City Eliaquim Mangala pamoja na Vincent Kompany
Vikosi vilikuwa hivi:
MANCHESTER CITY: Manchester City: Hart, Sagna, Mangala, Kompany, Kolarov, Toure, Fernandinho, Navas (Nasri 65mins), Silva, Sterling (Demichelis 79), Aguero (Bony 83)
Benchi: Caballero, Zabaleta, Clichy, Iheanacho
Waliopewa kadi: Kompany, Fernandinho, Mangala, Toure
Goal: Aguero 34, Kompany 79, Fernandinho 85
CHELSEA (4-2-3-1): Begovic, Ivanovic, Cahill, Terry (Zouma 45), Azpilicueta, Ramires (Cuadrado 64), Matic, Willian (Falcao 79), Fabregas, Hazard, Diego Costa
Benchi: Blackman, Mikel, Loftus-Cheek, Remy
Waliopewa kadi: Ivanovic, Hazard
Refarii: Martin Atkinson
Vikosi vilikuwa hivi:
MANCHESTER CITY: Manchester City: Hart, Sagna, Mangala, Kompany, Kolarov, Toure, Fernandinho, Navas (Nasri 65mins), Silva, Sterling (Demichelis 79), Aguero (Bony 83)
Benchi: Caballero, Zabaleta, Clichy, Iheanacho
Waliopewa kadi: Kompany, Fernandinho, Mangala, Toure
Goal: Aguero 34, Kompany 79, Fernandinho 85
CHELSEA (4-2-3-1): Begovic, Ivanovic, Cahill, Terry (Zouma 45), Azpilicueta, Ramires (Cuadrado 64), Matic, Willian (Falcao 79), Fabregas, Hazard, Diego Costa
Benchi: Blackman, Mikel, Loftus-Cheek, Remy
Waliopewa kadi: Ivanovic, Hazard
Refarii: Martin Atkinson

Vincent Kompany akishangilia goli.

Fernandinho akishangilia mara baada ya kufunga bao la tatu kwa Man City
0 comments:
Post a Comment