Sunday, August 16, 2015

Washika bunduki wa London, Arsenal wameshinda 2-1 dhidi Crystal Palace katika mechi ya ligi kuu England iliyomalizika jioni hii uwanja wa Selhurst Park.
Crystal Palace summer signing Cabaye attempts to close down Arsenal playmaker Mesut Ozil during the first half of the league contest
Arsenal walikuwa wa kwanza kuandika goli dakika ya 16' kupitia kwa Olivier Giroud, kabla ya Joel Ward kuwasawazishia wenyeji dakika ya 28.
Ward lets fly from long range before his shot lands in the back of Cech's net despite the keeper diving down to his right-hand side
Damien Delaney alijifunga dakika ya 55 na kukipa ushindi kikosi cha Arsene Wenger ambacho kilifumuliwa 2-0 dhidi ya West Ham United kwenye mechi ya ufunguzi wa EPL iliyochezwa mwishoni mwa Juma lililopita.

TAKWIMU ZA MECHI

Baada ya mechi hiyo msimamo wa sasa hivi uko hivi;

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video