Saturday, July 18, 2015

Unakumbuka jinsi  Ashley Cole alivyokuwa mwiba kwa Cristiano Ronaldo?

Labda huelewi kwanini tunamuita Cole ni adui wa Ronaldo.

Beki huyo wa AS Roma alikuwa moja ya walinzi bora wa kulia na alikuwa miongoni mwa wachezaji wachache walioweza kumkaba Ronaldo wakati huo anaichezea Manchester United.
Youngster Martin Odegaard (left) started and impressed on the wing for the Spanish giants
Leo Cole amemkumbushia Ronaldo kuhusu maumivu aliyokuwa anampa wakati huo 
akiichezea Arsenal na Chelsea baada ya kumzuia Cristiano kufanya mambo yake katika mechi ya kirafiki iliyopigwa leo katika mashindano ya kimataifa ya maandalizi ya msimu.
Real Madrid wametolewa kwa penalti 7-6 baada ya dakika 90 kumalizika kwa suluhu (0-0).

Cheki Video

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video