Tuesday, July 21, 2015

Wapiga picha wakiwa kazini
Waandishi wa habari walioomba vitambulisho vya kufanyia kazi (Accreditation) leo wanaombwa kufika ofisi za TFF zilizopo Karume kuchukua vitambulisho vyao.
Waandishi mnaombwa kuchukua vitambulisho hivyo kuanzia saa 5 kamili asubuhi mpaka saa 6 kamili mchana, kwani vitambulisho vya muda vilivyotolewa havitatumika tena.
Kuanzia michezo ya leo kila mwandishi atapaswa kutumia kitambulisho kilichotolewa maalum kwa ajili ya michuano hiyo kuingilia uwanjani.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video