Tuesday, July 21, 2015

Raheem Sterling baada ya kusajiliwa kwa pesa nyingi (paundi milioni 49) akitokea Liverpool na kujiunga na matajiri manchester city anategemewa kuanza kucheza.
Hivi sasa Raheem yupo pamoja na wachezaji wenzake kwenye mazoezi chini ya kocha Manuel Pellegrini na meneja huyo amesema mechi ya kwanza ya Sterling ni dhidi ya Roma inayopigwa leo hii.
Mashabiki wa Manchester city wanategemea kumuona mchezaji huyu akitoa mchango mkubwa kwenye club yao baada ya mambo makubwa aliyokua akifanya ndani ya Liverpool .Raheem amepewa jezi namba 7

2AB1C41600000578-0-image-a-37_1437393763056

2AB1DCBD00000578-0-image-a-46_1437393886775

2AB1DCD000000578-0-image-m-41_1437393838582
2AB1FFB800000578-0-image-a-42_1437393845770

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video