Viongozi wa klabu ya Yanga wakikabidhiwa mfano wa hundi ya zawadi ya bingwa wa ligi iliyomalizika yenye thamani ya shilingi miolioni 80 za Tanzania
Baba yake Simon Msuva (mzee Msuva) akiwa ameinua juu tuzo ya mfungaji bora wa ligi iliyokwenda kwa Simon Msuva, (kulia kwake) ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia na (kushoto kwake) ni mama yake Simon Msuva
Wazazi wa Simon Msuva wakiwa wameshika tuzo ya mtoto wao mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo na Mh. Juma Nkamia aliyekuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo
Mke wa Juma Nkamia ambaye ni Naibu Waziri wa Habari, Viajana, Utamaduni na Michezo naye alikuwepo kwenye ugawaji wa tuzo (katikati) ni mtoto wa Naibu Waziri
Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm jana alimwagwa kwenye kinyang’anyiro cha kocha bora wa ligi msimu uliopita na tuzo hiyo kwenda kwa Mbwana Makata
Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ (kushoto) alikuwa ni mmoja kati ya waliokuwa wakiwania tuzo ya mchezaji bora
0 comments:
Post a Comment