Fid akijiachia Zanzibar na bado anawakilisha chama
AY na FID Q kama timu hii ikifungwa basi hawana raha kabisa. Kwenye moja ya tweet za A.Y aliwai kusema kwamba hawezi kamwe kubadilika na yeye ataishabikia timu hii forever.
Fid akijiachia Zanzibar na bado anawakilisha chama

Wakiwa njiani kuelekea kuangalia mechi ya magwiji wa Barcelona

Wakiwa uwanja wa Taifa

Uzi wa Fid Q chata Barcelona


0 comments:
Post a Comment