Sunday, April 5, 2015


MWANASOKA bora wa dunia na mshambuliajiwa Real Madrid na Ureno, Cristiano Ronaldo leo ameweka rekodi ya aina yake ya kufunga 'hat-trick' jumlisha mawili ya nyongeza yaani magoli matano (5) peke yake katika ushindi wa mabao 9-1 kwenye mechi ya ligi kuu La Liga dhidi ya Granada.
Real Madrid bounced back from their El Clasico defeat by Barcelona with a thumping win on Easter Sunday
Ronaldo alifunga mabao hayo katika dakika ya 31', 36', 38',54 na 89.
Mabao mengine manne yamefungwa na Gareth Bale dakika ya 25', Karim Benzema dakika ya 52' na 56'.
French striker Karim Benzema also notched a double as Real Madrid kept the pressure on Barcelona at the top of La Liga
Naye Diego Mainz alijifunga goli goli katika dakika ya 83'.
Bao pekee la kufutia machozi kwa Granada lilifungwa dakika ya 74 kupitia kwa Martinez Ibanez.
Rekodi kali ya Ronaldo leo ni kufunga 'Hat-trick' ndani ya dakika 8' tu.
Cristiano Ronaldo takes on Granada defender Dimitri Foulquier on Real Madrid's left flank on Sunday
Katika mechi nyingine, Valencia imetoka suluhu na Villareal.
Getafe na  Deportivo La Coruna wanachuana muda, wakati Barcelona watakuwa ugenini mnajira ya saa 4:00 kwa saa za Tanzania kuchuana na Celta Vigo.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video