Monday, April 13, 2015


JORDON Ibe yuko mbioni kusaini mkataba wa muda mrefu baada ya Brendan Rodgers kuamua kuingiza vijana kwenye kikosi cha msimu ujao.
Liverpool walimpa Ibe ofa ya mkataba mfupi mwezi februari baada ya kuonesha kiwango kikubwa katika mechi za ligi hususani dhidi ya Everton na Tottenham.
Dili hilo sasa limeshafikiwa makubaliano na Ibe ambaye amekosekana tangu apate majeruhi ya goti dhidi ya Besiktas februari 26

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video