Thursday, April 30, 2015

Hizi ni picha za baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wachezaji wa Yanga wakisubiri kuondoka.
Amissi Tambwe (kushoto) na Mbuyu Twite wakibadilishana mawazo wakati wakisubiri muda wa kuondoka
Kocha mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm (kushoto) akijadili jambo na msaidizi wake Charles Boniface Mkwasa 'Master'
Kocha mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm (kushoto) akijadili jambo na msaidizi wake Charles Boniface Mkwasa ‘Master’
Mlinzi na nahodha wa Yanga Nadir Haroub 'Cannavaro' akipokea maneno mawili, matatu kutoka kwa wapenzi wa timu hiyo kabla hawajaondoka
Mlinzi na nahodha wa Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akipokea maneno mawili, matatu kutoka kwa wapenzi wa timu hiyo kabla hawajaondoka
Winga wa Yanga Simon Msuva akiwasili uwanja wa ndege
Winga wa Yanga Simon Msuva akiwasili uwanja wa ndege
Wachezaji wa Yanga kutoka kushoto ni Hussein Javu, Said Juma, Simon Msuva na Salum Telela
Wachezaji wa Yanga kutoka kushoto ni Hussein Javu, Said Juma, Simon Msuva na Salum Telela
Cannavaro akifanya mawasiliano uwanja wa ndege kabla ya kuondoka kuelekea Tunisia
Cannavaro akifanya mawasiliano uwanja wa ndege kabla ya kuondoka kuelekea Tunisia
Wachezaji na Viongozi wakiwa wamejipanga kwenye mstari tayari kwa kukaguliwa hai zao za kusafiria
Wachezaji na Viongozi wakiwa wamejipanga kwenye mstari tayari kwa kukaguliwa hati zao za kusafiria
Wachezaji wakiwa wamepumzika kwenye ngaziwakisubiri safari
Wachezaji wakiwa wamepumzika kwenye ngazi wakisubiri safari
Mtangazaji wa kituocha redio cha E-FM Maulid Kitenge (kulia) naye aliambatana na kikosi cha Yanga kuelekea Tunisia
Mtangazaji wa kituocha redio cha E-FM Maulid Kitenge (kulia) naye aliambatana na kikosi cha Yanga kuelekea Tunisia

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video