
Steven Gerrard akishangilia baada ya kufunga goli katika ushindi wa Liverpool wa mabao 3-2 dhidi ya Tottenham jumanne iliyopita
Steven Gerrard atakutana na mabosi wa LA Galaxy kwa mara ya kwanza wiki hii.
Nahodha huyo wa Liverpool anayeondoka Anfield anakutana na mabosi hao ana kwa ana kuzungumzia suala lake la kujiunga na klabu hiyo ya Marekani mwezi julai mwaka huu.

0 comments:
Post a Comment