![]() |
| Kocha
wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D'
kushoto akiwaelekeza mabondia jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini
'upcut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala iliyopo Amana CCM hivi karibuni picha na www.superdboxingcoach. |
![]() |
| Kocha
wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D'
kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya kupiga ngumi kwa
kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya
Ilala hivi karibuni picha na www.superdboxingcoach. |
![]() |
| Kocha
wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'
kushoto akiwaelekeza mabondia wake jinsi ya kupiga ngumi yenye mkunjo wa
chini 'Upcut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni picha na www.superdboxingcoach. |
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa
Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwaelekeza jinsi ya
mkao wa kupiga ngumi nzuri za mkunjo wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu
Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya
kupangua ngumi kwa kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi
yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com






0 comments:
Post a Comment