Ngumu kukubali: Beki wa Brazil David Luiz akimfariji Rodriguez baada ya mechi mjini Fortaleza
Machozi tu!: Rodriguez akikumbatiwa na kocha wake Jose Pekerman baada ya kupoteza mechi dhidi ya Brazil.
Nyota huyo wa Manoca aliifungia Colombia bao la kufutia machozi kwa mkwaju wa penati.

0 comments:
Post a Comment