
Mchezaji wa Mexico, Rafael Marquez , wa pili kulia, akiifungia timu yake bao la kuongoza.
TIMU ya Taifa ya Mexico imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 ya kombe la dunia baada ya kuilaza Croatia mabao 3-1.
Mexico
tangu wanaanza michuano hii walionekana kuwa timu nyepesi, lakini kwa
moto wanaowasha, timu nyingi yawezekana hazipendi kukutana nao.
Rafael Marquez, alikuwa wa kwanza kuifungia Mexico bao dhidi ya timu pungufu ya Croatia kwani Ante Rebic alioneshwa kadi nyekundu.
Andres Guardado alifunga bao la pili baada ya Mexico kufanya shambulizi la kushitukiza dhidi ya Croatia walioonekana kukosa nidhamu ya mchezo baada ya Ante Rebic kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Andres Guardado alifunga bao la pili baada ya Mexico kufanya shambulizi la kushitukiza dhidi ya Croatia walioonekana kukosa nidhamu ya mchezo baada ya Ante Rebic kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Bao la tatu lilifungwa na mshambuliaji wa Manchester United, Javier Hernandez `Chicharito`.
Bao la kufutia machozi kwa Croatia lilifungwa na Ivan Perisic.

Marquez akishangilia bao lake na mchezaji mwenzake Javier Hernandez
Hapa chini ni vikosi vya timu zote na viwango vya wachezaji. Alama ni chini ya 10.
Kikosi cha CROATIA (4-4-2):
Pletikosa 7; Vrsaljko 5.5 (Kovacic 58, 6), Lovren 6.5, Corluka 7.5,
Pranjic 6.5 (Jelavic 74, 6); Srna 5, Rakitic 6, Modric 6.5, Perisic 6;
Mandzukic 6, Olic 6 (Rebic 69, 6).
Kadi ya njano: Rakitic.
Kadi nyekundu: Rebic.
Kikosi cha MEXICO (4-4-2): Ochoa 7; Rodriguez 7, Marquez 8, Herrera 7, Layun 7; Dos Santos 5.5 (Hernandez 62min, 6), Moreno 6, Guardado 6.5 (Fabian 84), Peralta 6 (Pena 79); Aguilar 6, Vazquez 6.
Kadi za njano: Marquez, Vazquez.
Mchezaji bora wa mechi: Rafael Marquez.
Mwamuzi: Ravshan Irmatov (Uzbekistan) 6.
Watazamaji: 41,212.
Kadi ya njano: Rakitic.
Kadi nyekundu: Rebic.
Kikosi cha MEXICO (4-4-2): Ochoa 7; Rodriguez 7, Marquez 8, Herrera 7, Layun 7; Dos Santos 5.5 (Hernandez 62min, 6), Moreno 6, Guardado 6.5 (Fabian 84), Peralta 6 (Pena 79); Aguilar 6, Vazquez 6.
Kadi za njano: Marquez, Vazquez.
Mchezaji bora wa mechi: Rafael Marquez.
Mwamuzi: Ravshan Irmatov (Uzbekistan) 6.
Watazamaji: 41,212.

Javier Hernandez akifunga bao la tatu

Chicharito akishangilia bao lake

Kocha wa Mexico Miguel Herrera akishangilia baada ya Andres Guardado kuifungia timu yake bao la pili.
0 comments:
Post a Comment