Friday, May 23, 2014


All smiles: Toni Kroos, in training for Germany on Thursday, believes he will be at Bayern Munich next season
Imechapishwa mei 23, 2014, saa 7:48 mchana.

KIUNGO wa Bayern Munich Toni Kroos hana nia ya kuwa mchezaji wa Manchester United msimu ujao.
Kwa muda mrefu nyota huyo amekuwa akiwindwa na wakali hao wa Old Trafford hususani wakati huu ambapo suala lake la mkataba mwingine halijatatuliwa na Bayern.
Kroos, 24, amebakiwa na mwaka mmoja katika mkataba wake na yuko tayari kukubali ofa ya kuongezewa mkataba mwingine na sio kuondoka klabuni hapo.
On the ball: Kroos in training
Raring to go: Kroos will feature for Germany at the World Cup
Kagoma kuondoka: Kroos anayewindwa na Manchester United  ataichezea Ujerumani katika fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.
 
Kroos aliyeng`arishwa na kocha mpya wa Manchester United, Louis van Gaal wakati huo akiwa Bayern inasemekana kuwa ana nia ya kufanya kazi na kocha wake huyo wa zamani, lakini amekuwa akikanusha kuwa miamba hiyo ya Uingereza haipo katika rada zake.
Akizungumza na  Bild alisema: 'Natarajia kuichezea Bayern Munich msimu ujao. 
"Kuna tetesi nyingi sana, lakini Manchester sio na haitakuwa ishu".
"Kwa muda huu mawazo yote yapo katika maandalizi ya kombe la dunia 2014". 
Man United wakati huo wakiwa chini ya David Moyes  walikubaliana na Bayern kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 20 ili kuinasa saini ya Kroos.
Wakati huo huo, rais wa Bayern, Karl Hopfner, anadai Kroos atapewa ofa nzuri ya mkataba mpya kutoka klabu ya Bayern Munich.

Done deal: Manchester United have agreed a deal to sign Bayern Munich midfielder Toni Kroos for £20m

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video