Friday, May 30, 2014

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi (kulia) akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga mkataba wa makabaliano yao kuhusu kuanzishwa kwa akaunti ya mashabiki na wanachama wa klabu hiyo katika hafla iliyofanyika Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo. ??????????Viongozi wa klabu za Simba na Yanga pamoja na viongozi Benki ya Posta Tanzania (TPB) wakipozi kwa picha ya pomaja na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia katika hafla ya uzinduzi wa akaunti ya mashabiki na wanachama wa klabu hizo iliyofanyika Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo. ??????????Kutoka kushoto, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi na Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage wakionyesha ishara ya kuendeleza soka katika hafla ya uzinduzi wa akaunti maalum kwa ajili ya mashabiki na wanachama wa klabu hizo iliyofanyika Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo.
5Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia akitoa hotuba wakati wa uzinduzi wa akaunti maalum za wanachama wa Simba na Yanga iliyoandaliwa na Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwenye ukumbi wa Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video