Wednesday, May 28, 2014


Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimfua bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi
Imechapishwa Mei 28,2014, saa 9:07

BONDIA namba moja katika uzito wa light welterweight , Ibrahimu Class 'King class Mawe' ameibuka na kukemea vikali tabia ya mabondia kwenda kuangalia ngumi kama wanakwenda kwenye starehe 'Picnic'
Aliyazungumza hayo katika ukurasa wake wa facebook mapema hivi karibuni akipinga matukio yanayofanywa na mabondia wakubwa nchini tanzania kwa kuingia ukumbini huku wakiwa wanakunywa pombe na kushika chupa mbilimbili
Bondia huyo alienda mbali zaidi kwa kuwaeleza kuwa bondia anapokwenda kwenye ngumi yupo kazini kwa kuwa ni kazi kama kazi nyingine.  hivyo haijalishi anacheza au hachezi kwa siku hiyo,  lazima awe na nidhamu kwa mashabiki ili upate wapenzi wapya zaidi, kwani wapenzi wa ngumi wanapatikana kwenye ngumi.
Class aliongea hayo hivi karibuni baada ya mabondia Mada Maugo na Thomasi Mashali kuamua kuzipiga kavu kavu kwa kitu kilichotambulika kuwa wao ni walevi tena wakiwa katika ukumbi wa ngumi Friends Corner Manzese
kitendo hiki cha kupigana hovyo sikiungi mkono hata siku moja kwasababu kinawakosesha thamani  mabondia chipukizi.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video