Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete na
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza wakikagua athari za mafuriko
zilizoharibu vibaya barabara ya Chalinze- Dar es Salaam eneo la Ruvu
Darajani leo.Mamia ya abiria walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko
hayo(picha na Freddy Maro)




0 comments:
Post a Comment