Thursday, March 20, 2014

Furaha kubwa: Wachezaji wa Man United wakishangilia bao la pili la Van Persie, lakini lilikuja la tatu pia
There's hope yet: Van Persie puts United ahead on the night from the spot in the first-half
Matumaini bado yapo: Van Persie akifunga bao la kwanza la kuongoza usiku wa jana Old Trafford
Beyond grasp: Goalkeeper Roberto went the right way but Van Persie's effort was too strongAlijaribu kuokoa: Mlinda Mlango Roberto alikwenda njia sahihi, lakini shuti laVan Persie lilikuwa na nguvu zaidi 
Under pressure: Van Persie was attempting to get on the end of Wayne Rooney's superb pass
Presha kubwa: Van Persie akijaribu kutumia vyema pasi aliyopewa na  Wayne Rooney
Penalty! And the Dutchman was hauled down by Jose Holebas, before the referee pointed to the spot
Penati! :  mholanzi huyo aliangushwa na Jose Holebas, baada ya hapo mwamuzi akawapa Man United penati
Tight: Patrice Evra attempts to bring the ball under control under pressure from Leandro Salino
Mambo magumu: Patrice Evra akijaribu kumiliki mpira, huku Leandro Salino akikomaa naye
Get up: Giggs (left) and Olympiakos' Hernan Perez battle for the ball
Huniwezi mbwana mdogo!: Giggs (kushoto) akichuana na mchezaji wa  Olympiakos,  Hernan Perez 
Call: United appealed for another penalty in the first-half after Valencia was brought down by Maniatis
Umetunyima?: United walilalamikia kunyimwa penati nyingine kipindi cha kwanza kufuatia Valencia kuangushwa eneo la hatari na Maniatis
Tumble: Olympiakos' Greek defender Kostas Manolas goes shoulder-to-shoulder with Danny Welbeck
Ni shidaa: Beki wa Olympiakos,  Kostas Manolas alicheza bega kwa bega dhidi ya Danny Welbeck 
In the wars: Antonio Valencia, with a black eye, is challenged by Alejandro DominguezHapa vita tu: Antonio Valencia, akipewa shughuli na Alejandro Dominguez
Nasty: Antonio Valencia United takes a knock on the eye from Joel Campbell of Olympiakos
Heheheh!!: Antonio Valencia United akipigwa kichwa kwenye jicho na Joel Campbell wa  Olympiakos
Shiner: Man United's Antonio Valencia with swollen eye after clash with Joel Campbell
Aling`ara: Antonio Valencia baada ya kupata mshikeli kwenye jicho kufuati kupigwa kichwa na Joel Campbell
From behind: United defender Patrice Evra competes with Hernan Perez of Olympiacos
Kutoka nyuma: Beki wa United,  Patrice Evra  akichuana na Hernan Perez wa  Olympiacos
The man who did it all: Sir Alex Ferguson was in the stands again on Wednesday night
Mtu aliyefanya yote: Sir Alex Ferguson alikuwepo jana usiku kuhakikisha mambo yanakwenda sawa
Picha na Sportsmail

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video