Sunday, March 16, 2014


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
0712461976 au 0764302956
MECHI ya watani wa jadi wa kaskazini mwa London baina ya Asernal na Tottenham Hospur imemalizika Usiku huu  kwa washika bunduki wa Aserne Wenger kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na kurudi katika mbio za ubingwa wa ligi kuu soka nchini England.
Bao pekee la  Tomas Rosicky katika sekunde ya 72 kipindi cha kwanza limewapa ushindi wa kwanza Asernal dhidi ya Tottenham katika dimba la White Hart Lane tangu mwaka  2007.
Kikosi cha Tim Sherwood kitajilaumu sana katika mchezo wa leo kwasababu kilitawala mchezo kwa dakika nyingi na kiungo wake Nacer Chadli alikosa bao la wazi la kusawazisha kufuatia makosa ya mlinda mlango wa  Arsenal,  Wojciech Szczesny.
Leo hii  wenyeji walishindwa kufanya maajabu, na sasa kocha wa Asernal, Aserne Wenger anajiandaa kukabiliana na Chelsea wiki ijayo ambapo utakuwa mchezo wake wa 10,000 tangu awe kocha wa washika bunduki hao wa London.
Na Baada ya matokeo ya leo, Asernal imekuwa nyuma kwa pointi 4 tu dhidi ya vinara Chelsea, huku wakiwa  na mchezo mmoja mkononi.
Unstoppable: Arsenal midfielder Tomas Rosicky (right) gives his side the lead with a powerful strike into the top cornerHazuiliki: Kiungo wa Arsenal ,Tomas Rosicky (kulia) akifunga bao lake leo hii
Back of the net: Tottenham goalkeeper Hugo Lloris (left) can't stop Rosicky's effortGozi kimiani: Mlinda mlango wa Tottenham ,  Hugo Lloris (kushoto)  akiambulia manyoya baada ya Rosicky kupiga mpira kuelekea nyavuni
Man of the moment: Rosicky (middle) wheels away after opening the scoring at White Hart Lane
 Mwokozi wa leo: Rosicky (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao usiku huu katika dimba la  White Hart Lane
Mobbed: Arsenal stars (from left to right) Alex Oxlade-Chamberlain, Santi Cazorla, Olivier Giroud and Lukas Podolski (far right) celebrate with RosickyWakali:  Nyota wa Arsenal (kutoka kushoto kwenda kulia) Alex Oxlade-Chamberlain, Santi Cazorla, Olivier Giroud na Lukas Podolski (anayeonekana kwa mbali kulia kabisa) wakishangilia bao la Rosicky
Kikosi cha Tottenham leo: Lloris 6, Naughton 6, Kaboul 6, Vertonghen 6.5, Rose 5.5, Chadli 6 (Sigurdsson 69mins, 6), Sandro 5.5 (Paulinho 68mins, 6), Eriksen 6 (Soldado 82mins, 6), Bentaleb 5, Townsend 6, Adebayor 5.5
Wachezaji wa akiba: Friedel, Kane, Walker, Lennon
Waliooneshwa kadi za njano: Chadli, Sandro, Vertonghen, Soldado, Rose
Kocha: Tim Sherwood 5
Kikosi cha Arsenal: Szczesny 6.5, Sagna 6.5, Mertesacker 8, Koscielny 7, Gibbs 7, Rosicky 7.5 (Flamini 69mins, 6), Arteta 7, Oxlade-Chamberlain 7.5 (Vermaelen 85mins, 6), Cazorla 6, Podolski 6.5, (Monreal 77mins, 6), Giroud 5.5
Wachezaji wa akiba: Fabianski, Sanogo, Jenkinson, Gnabry
Waliooneshwa kadi za njano: Sagna, Gibbs, Flamini
Bao : Rosicky 2
Kocha: Arsene Wenger 7
Mchezaji bora wa mechi: Mertesacker
Mwamuzi: Mike Dean (Wirral)

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video