Salha
alitoa mbinu mbalimbali za kujiamini kwa mwanamitindo awapo jukwaani
pamoja na mbinu za kujibu maswali kiusahihi kwa wanahabari ambapo
imezoeleka kwa washiriki wengi hushindwa kujibu maswali kiusahihi kitu
ambacho hupunguza ari ya shindano.
Fainali za mashindano haya zitafanyika desemba 7,pia washiriki
watapigiwa kura na wananchi ambapo namba maalumu itaolewa hivi punde
kumpigia mshiriki umpendae ili kumuongezea alama amabazo zitamwezesha
mshiriki wako ashinde.
0 comments:
Post a Comment