Monday, November 11, 2013

Baadhi ya washiriki wa warsha ya viongozi wa kimila wa jamii ya ufugaji kuhusu afya ya uzazi na kuzuia maambukizi ya ukimwi wanaonekana wakisikiliza kwa makini mambo yaliyokuwa yakiongelewa kwenye warsha hiyo. IMG_6744 
Baadhi ya wafugaji wa jamii ya wamasai wakicheza ngoma za asili wakati wa ufunguzi wa warsha hiyo kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar tarehe 9.11.2013. IMG_6873 
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akifungua rasmi warsha ya siku moja ya viongozi wa kimila wa jamii ya wafugaji kuhusu afya ya uzazi na kuzuia maambukizi ya ukimwi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere hapa Dar tarehe 9.11.2013. IMG_6926 
Mke wa RaiS Mama Salma Kikwete akivishwa mavazi ya wafugaji wa jamii ya wamasai wakati wa warsha ya viongozi wa kimila iliyofanyika Dar tarehe 9.11.2013. Baadaye Mama Salma alipokea zawadi kwa ajili ya Mheshimiwa Rais Dkt. Jakaya Kikwete. IMG_6960 
Olaiboni (CHIFU) wa Kabila la Wamasai Bwana Tikwa Moreto akizungumza na washiriki wa warsha. IMG_7053 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo na Oloiboni Bwana Tikwa Moreto wakati wa warsha.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video