Chunga tamaa mbaya!!, Mwanamke kibaka atiwa nguvuni!! Dada ambaye jina lake halikuweza kupatikana akizongwa na wananchi baada ya kusadikiwa kuiba simu katika moja ya duka eneo la posta barabara ya Samora na hatimaye kukimbia na kukamatwa na wananchi. Picha na Eliphace Marwa (MAELEZO)
0 comments:
Post a Comment