Friday, September 13, 2013


IMG_0615 
Mkuu wa Mkoa wa Mara John Gabriel Tuppa akisalimiana na na baadhi ya viongozi na wazee wa mji mara tu baada ya kuwasili katika viwanja vya maazimisho. IMG_0645 
Mkuu wa Mkoa wa Mara John Gabriel Tuppa akipewa maelezo juu matumizi shirikishi ya vyanzo vya maji katika banda la Wizara ya Maji. IMG_0659Mkurugenzi Masidizi Rasilimali za Maji Wizara ya Maji, Mhandisi Dk. George Lugomela akitoa ufafanuzi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa namna ya matumizi ya pamoja ya maji kutoka kwenye vyanzo vya maji. IMG_0664 
Mkuu wa Mkoa wa Mara na Mkurugenzi Masidizi wa Rasilimali za Maji Wizara ya Maji, Mhandisi Dk. George Lugomela wakipokea maelezo namna Wizara ya maji inavyokabiliana na magugumaji katika maziwa na mito nchini.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video