


Wanafunzi
wa Shule za msingi za Bryceson na Mburahati zilizopo katika Halmashauri
ya Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam wakionesha mabegi yenye
ujumbe unaosomeka “kuwa salama barabarani” waliyokabidhiwa jumanne
Septemba 24, 2013 kutoka kutoka kwa PUMA Energy ikiwa ni sehemu ya
maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama Barabarani Jijini Dar es
Salaam.

Wanafunzi
wa shule za msingi za Bryceson na Mburahati zilizopo katika Halmashauri
ya Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam wakiimba kwa vitendo wimbo
wa usalama barabarani wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya
PUMA Energy Tanzania Bw. Phillipe Corsaletti (wa pili Kushoto) wakati wa
maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani Jijini Dar es
Salaam
0 comments:
Post a Comment