Sunday, August 18, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Wayne Rooney hatimaye amekubali kubaki na kukubali ukweli kuwa hawezi kuruhusiwa kuihama klabu yake na kujiunga na Chelsea.
Japokuwa ameonesha nia ya  kutaka kufanya kazi na Jose Mourinho, Rooney ameamua kutulia ili aimarike zaidi baada ya kukosa mechi zote za maandalizi ya msimu mpya kutokana na kukumbwa na majeruhi.
Nyota huyo kwa mara ya kwanza alicheza jana chini ya kocha David Moyes katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu dhidi ya Swensea City ambapo United walishinda kwa mabao 4-1, huku akitoa pasi mbili zilizozaa mabao, lakini hakujiunga na wenzake kushangilia mabao hayo.
On the outside: Wayne Rooney (second left) appears not to celebrate Manchester United's third goal with team-matesMbali kabisa: Wayne Rooney (wa pili kushoto)  alionekana kutoshangilia bao la tatu na wenzake licha ya kusababisha yeye
Peripheral figure: Rooney (eighth right) chats with referee Phil Dowd as United celbrate Danny Welbeck making it 4-1Hana mpango: Rooney (wa nane kulia) akipiga stori na mwamuzi wa mchezo wa jana Phil Dowd wakati wachezaji wenzake wa  United wakijumuika na  Danny Welbeck kushangilia bao la nne
Resignd to his fate: Rooney will remain a Manchester United player for this seasonTulia kijana wangu, shida ya nini?: Rooney atabakia kuwa mchezaji wa Manchester United  msimu huu
Under instruction: Rooney was a 61st minute substitute for Ryan Giggs, setting up two goalsAkipata maelekezo, ingia pale nenda kapike mambo, sawa?: Rooney aliingia dakika ya  61 akichukua nafasi ya kocha mchezaji Ryan Giggs, na kusababisha magoli mawili 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video