Monday, August 19, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsamail.com
KLABU ya zamani ya kocha , David Moyed,  Everton imeripotiwa kuikataa vikali ofa ya pauni milioni 28million kutoka kwa mabingwa wa ligi kuu wa England, Manchester United kwa ajili ya kuwasajili beki Leighton Baines na kiungo matata Marouane Fellaini.
Mashetani wekundu wenye makazi yao Lod Trafford, walituma ofa ya pauni milioni 16 kwa ajili ya Fellaini – wiki mbili baada ya kumalizika kwa muda wa kutengua kipengele chake cha kumuuza kwa ada ya pauni milioni 23.5,  na pia wakaongeza millioni £12 kwa ajili ya Baines, taarifa kwa mujibu wa Liverpool Echo.
Lakini Everton kwa haraka waliikataa ofa hiyo kutoka kwa kocha wao wa zamani David Moyes, siku mbili kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu ya England.
Inaaminika Everton watakuwa tayari kuwauza wachezaji hao angalau kwa bei ya kuanzia £38m na sasa inasubiriwa kama United watakuwa tayari kuongeza paundi millioni 10 ili kufanikisha dili hilo kabla ya siku 14 za dirisha la usajili hazijaisha.
Double swoop: Manchester United manager David Moyes (below) tried to raid former club Everton for Marouane Fellaini (left) and Leighton Baines (right) for a combined £28m - but the Merseyside club flatly rejected the offer
Kiungo mtaalamu Marouane Fellaini 
Double swoop: Manchester United manager David Moyes (below) tried to raid former club Everton for Marouane Fellaini (left) and Leighton Baines (right) for a combined £28m - but the Merseyside club flatly rejected the offer
Leighton Baines
 Nyota wawili: Kocha wa Manchester United  David Moyes (pichani chini) anajaribu kuwasajili nyota wake wa zamani katika klabu ya Everton, Marouane Fellaini Leighton Baines kwa dau la pauni milioni 28m – lakini wakali hao wa  Merseyside wamekataa ofa hiyo
Double swoop: Manchester United manager David Moyes (below) tried to raid former club Everton for Marouane Fellaini (left) and Leighton Baines (right) for a combined £28m - but the Merseyside club flatly rejected the offer Baada ya kushindwa kumsajili  Cesc Fabregas, Thiago Alcantara na wachezaji wengine waliokuwa wanawahitaji majira haya ya kiangazi, sasa United wamegeukia kwa wachezaji wa  Everton ili kuimarisha kikosi chao
Back in action: Both Baines (left) and Fellaini played for Everton against Norwich City in the 2-2 draw at Carrow Road on SaturdayWamerudi kazini: Wote Baines (kushoto) na Fellaini walicheza katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu England dhidi ya  Norwich City  na kuambulia sare ya  2-2 katika dimba la  Carrow Road jumamosi iliyopita.
Standing firm: Roberto Martinez, the Everton manager, feels no pressure to sell his star assets Msimamo mkali: Kocha wa Everton, Roberto Martinez, anaonekana kutokuwa na presha ya kuwauza nyota wake

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video