Tuesday, July 2, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha wa zamani wa klabu ya Darajani, Chelsea Ray Wilkins anaamini miaka 10 ya umiliki wa Roman Abramovich umeibadili timu hiyo ya England kuwa mbaya zaidi.
Jumatatu ya jana, Abramovich alitimiza miaka 10 akiwa ni mmiliki wa klabu hyo na katika utawala wake ametwaa mataji matatu ya ligi kuu na makombe ya mabingwa barani ulaya.
Wilkins, ameliambia gazeti la The Sun: ‘Chelsea kama bidhaa yetu, imeibadili kuwa nzuri lakini kuna makosa”.
‘Kwa timu yetu ya England, imekuwa mbaya zaidi. Kwa bahati mbaya katika miaka 10 ya Roman kumekuwepo na ujio wa wachezaji wengi kutoka nje ya England, hivyo kuwanyima nafasi wazawa kucheza klabuni hapo”.Alisema Wilkins.
Wilkins ambaye aliwahi kuichezea Chelsea miaka ya 1970, ana amini kuwa sera ya bilionea huyo kuchukua wachezaji wengi wa kigeni imeharibu maendeleo ya soka la England.
Big spender: Abramovich's spending has had a negative influence on English football, says Wilkins 
Mtumiaji na mwenye jeuri ya pesa: Matumizi makubwa ya pesa ambayo hufanywa na Abramovich kusajili wachezaji ghali kutoka nje ya England kumekuwa na mchango hasi katika maendeleo ya soka la England, amesema Wilkins.
Tenure: Wilkins (right) was a coach at Chelsea under Abramovich between 2008 and 2010 
Akiwa kibaruani enzi zake: Wilkins (kulia) alikuwa kocha wa Chelsea chini ya Abramovich kati ya mwaka 2008 na 2010
Jose Mourinho
Didier Drogba
Sifa kubwa: Muda aliokaa Abramovich umekuwa wa mafanikio, lakini una hasara kubwa kwa soka la England
Wilkins aliongeza: ‘Tumeona timu imekuwa na mafanikio makubwa na kuwa bora zaidi duniani, lakini imeleta hasara kubwa”.
‘Tumeona jinsi ambavyo kikosi cha timu ya taifa ya England chini ya miaka 20 kilivyobatuliwa na Egypt, Iraq na Chile katika kundi lao, tatizo ni vijana kunyimwa nafasi katika soka la nyumbani”

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video