Thursday, July 11, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Meneja wa Liverpoo Brendan Rodgers anatarajia kufanya usajili wa nyota wengine mwezi ujao kwa malengo ya kuboresha kiwango cha majogoo hao wa jiji msimu ujao wa ligi kuu, ikiwezekena kutwaa ubingwa au kushika nafasi nne za juu na kucheza ligi ya mabingwa barani Ualaya.
Nyota wanne waliowasili Anfield kwa maana ya kipa kutoka Sunderland Simon Mignolet, beki kutoka Manchester City, Kolo Toure, mshambuliaji kutoka Celta Vigo,  Iago Aspas na  kiungo kutoka Barcelona B,  Luis Alberto – wote kwa ujumla wamekiimarisha kikosi hicho kwa mujibu wa Rodgers.
Lakini kumkosa kiungo wa Shakhtar Donetsk  Henrik Mkhitaryan, aliyejiunga na Borussia Dortmund, wekundu hao wa Anifield wanahamishia rada zao kwa wachezaji wengine wanaoweza kuwasainisha ili kuongeza nguvu zaidi.
Kuhusu Luis Suarez, Rodgers amesema sauala hilo liko wazi kuwa klabu yake haina mpango wa kumuuza nyota huyo raia wa Uruguay, licha ya Arsenal kujipanga kutuma ofa nyingine Anfield.
You and you: Brendan Rodgers is keen to buy more new players this summer as he moulds his Liverpool squad for the coming season
Wewe na yule mnaelewa: Brendan Rodgers yuko makini kununua wachezaji wapya majira haya ya joto ya usajili ya kiangazi ili kuimarisha kikosi cha majogoo wa jiji msimu ujao
Newcomer: Goalkeeper Simon Mignolet, seen here trying to stop Raheem Sterling in training, is one of four summer acquisitions so farNyota mpya: Mlinda mlango  Simon Mignolet, akionesha vitu vyake, na ni miongoni mwa nyota wanne waliosajiliwa majira haya ya kiangazi
Thirsty work: Kolo Toure, who has joined from Manchester City, tries to cool down during training on ThursdayKazi kwelikweli: Kolo Toure, ambaye amejiunga na Liverpool akitokea Manchester City, akijaribu kushusha pumzi wakati wa mazoezi ya klabu hiyo leo
Taarifa zinaeleza kuwa baada ya Asernal kumkosa Gonzalo Higuain kutka Real Madrid, sasa wamehamishia nguvu zao zote kwa mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez na wanajiandaa kutuma ofa ya pauni milioni 30 ambayo ilikataliwa wiki iliyopita.
Lengo la Liverpool ni kuongeza wachezaji wapya: Mipango ya kuisuka upya timu yetu inakwenda vizuri na lengo kubwa ni kununua wachezaji wengi tunaoweza kuwalipa”. Alisema Rodgers
High flier: Iago Aspas, another summer buy from Celta Vigo, takes part in a training drill Iago Aspas, aliyesajili majira haya ya kiangazi  kutokea Celta Vigo, akiwa mazoezini

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video