Sunday, July 14, 2013


Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe Dar es salaam
Lejendari wa Manchester United, Ryan Giggs amekiri kuwa anashangazwa na kujishangaaa mwenyewe kwa kitendo chake cha kuendelea kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza soka katika klabu yake na kufanikiwa kutwaa ubingwa mara 13.
Nyota huyo anayekaribia kufikisha umri wa miaka 40 anatarajia kuanza msimu wa 23 akiwa na United baada ya kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja mnamo mwaka uliopita, hivyo kuendelea kuwa mtu muhimu katika kikosi cha mashetani hao wekundu wa England.
Baada ya leo United kuwasili Sydney nchini Australia kuendelea na ziara yao ya kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu nchini England, Giggs amesema anafurahia sana maisha yake katika klabu ya Manchester United.
Nafurahia maisha yangu kama nilivyofanya miaka 20 iliyopita. Ni rahisi sana kama mnavyoona. Kila mwaka kwangu ni zawadi kwangu. Chukulia mwaka uliopita: Nimebeba ubingwa wa ligi kuu, hakika kushinda baada ya kufanya kazi kubwa imekuwa ni heshima na thamani kubwa sana”.
“Kitu muhimu kwa Manchester United ni kutwaa mataji tena. Huu ni mwanzo wa safari ya mwaka mpya na natumaini kubeba ubingwa tena mwishoni mwa msimu ujao”. Alisema Giggs
‘The thing about Manchester United is you have to do it all over again. This is the start of the journey this season and I hope to be lifting a trophy again at the end of the season.
Giggs alitegemea kucheza katika mchezo wa jana dhidi ya  Singha All-Stars ambao walipoteza kwa kufungwa bao 1-0,na ulikuwa  mchezo wa kwanza kwa kocha Moyes, lakini haikuwa hivyo.
Giggs alisema: “Maandalizi ya msimu mpya ni magumu kwa wachezaji. Mnahitaji kujifua kwa nguvu sana, hivyo ni ngumu kucheza na timu yenye ubora. Lakini tunaangalia mbele. Baada ya mchezo wa jana ambao tumepoteza, tutautumia kupata matokeo mazuri na timu kuimarika zaidi michezo ijao. Tunaangalia mbele zaidi.”
Pen to paper: Ryan Giggs signs autographs for fans in Sydney as Manchester United arrivedAnamwaga wino: Ryan Giggs akisaini kitabu cha kumbukumbu cha shabiki wa United mjini Sydney baada ya  Manchester United kuwasili 
Scenic: Giggs inspects his phone after taking a picture of the Sydney Opera HouseGiggs akiangalia simu yake baada ya kupiga picha ya  Sydney Opera House
Here we go: Giggs arrives for the Manchester United press conference at the Museum of Contemporary ArtHapa ndipo tunaenda: Giggs akiwasili sehemu ambayo mkutano na waandishi wa habari uliandaliwa
Capture the moment: David Moyes takes a photo of Sydney Harbour prior to the press conferenceAkichukua kumbukumbu: David Moyes alipiga picha bandari ya Sydney wakati akijiandaa kwenda katika mkutano na waandishi wa habari
Snap that: Moyes uses his phone to take a picture of one of Australia's great sightsHii siiachi: Moyes akitumia simu yake ya mkononi kupiga picha baadhi ya maeneo mazuri nchini Australia 
On camera: Rio Ferdinand records a video as Manchester United depart from the airportSio uwanjani tu: Rio Ferdinand akirekodi video wakati United wakiondoka uwaja wa ndege
Move along: United players prepare to face the A-League All StarsWanasepa uwanjani: wachezaji wa United wanajiandaa upambana na A-League All Stars 
Say cheese: Giggs poses for a picture with a fan at Sydney International AirportGiggs akila pozi na shabiki wa United katika uwanja wa ndege wa Sydney 
It's time to talk: Moyes and Giggs address the media in AustraliaMuda wa kuzungumza: Moyes na Giggs wakiongea na waandishi wa habari nchini Australi
Stunning backdrop: Ferdinand, Michael Carrick, Moyes and Giggs smile for the camera Ferdinand, Michael Carrick, Moyes na Giggs wakiwa katika picha ya pamoja 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video