Friday, July 12, 2013


1 (1)Meneja wa Ecobank Tawi la Kariakoo, Japhet Fungo (kulia) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kongamano la wafanyabiashara na uongozi wa benki hiyo ulifanyika Kariakoo jijini Dar es Salaam Julai 11 2013. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania Enoch Osei-Safo na Mkuu wa sekta Umma wa Benki hiyo, Ndabu Swere.2.Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania Enoch Osei-Safo akiongea na waandishi wa habari wakati wa kongamano la wafanyabiashara na uongozi wa benki hiyo ulifanyika Kariakoo jijini Dar es Salaam Julai 11 2013. Kulia ni Meneja wa Ecobank Tawi la Kariakoo, Japhet Fungo.3.Baadhi ya wafanyabiashara wakifuatilia mada katika kongamano hilo4. Mkuu wa Sekta ya Umma wa benki hiyo, Ndabu Swere(katikati) akisikiliza maongezi kati ya Bw. Kapya (kushoto) na mmoja wateja wao katika hafla hiyo.5.Meneja wa Ecobank Tawi la Kariakoo Japhet Fungo (kushoto) akigonganisha glass na wafanyakazi pamoja na wateja wa Ecobank.6.Meneja wa Ecobank Tawi la Kariakoo Japhet Fungo (kushoto) akigonganisha glass na wafanyakazi pamoja na wateja wa Ecobank.7.Meneja wa Ecobank Tawi la Kariakoo Japhet Fungo akichukua maoni ya wateja na kujibu baadhi ya maswali yaliyowasilishwa.8.9.Baadhi ya washiriki wakiuliza maswali.10.Baadhi ya wafanyabiashara Kariakoo walioshiriki kwenyehafla hiyo11.Baadhi ya wakuu wa vitengo Ecobank Tanzania
……..
Ecobank Tanzania hapo jana jioni iliandaa hafla ya wateja na wafanyabiashara wa Kariakoo katika hoteli ya Valentino. Kitengo cha Fedha Ecobank Tanzania pamoja na tawi la Msimbazi liliwaelimisha wafanyabiashara kuhusu;
  • Mbinu za kupunguza garama pamoja na kurahisisha uagizaji kutoka China
  • Kufikia masoko yao katika nchi za Afrika mashariki  kwa urahisi
  • Kupata maoni katika utenda biashara wao na huduma za benki wanazozipata
  • Matamanio ya wafanyabiashara na wateja wa Kariakoo
Hii itasaidia pakubwa kurahisisha biashara Kariakoo ambayo ni soko Kubwa Afrika Mashariki na kati. Ecobank pamoja na mtandao wake katika nchi 33 Afrika inawasaidia wateja wao kwa pakubwa kurahisisha kufikia baadhi ya masoko yao, pamoja na hayo Ecobank inasaidia biashara ya uagizaji wa mizigo kati ya Tanzania na China hivo kuwapunguzia garama za uagizaji na ununuzi wa sarafu za kichina RMB moja kwa moja. Hii ni mojawapo ya mbinu katika kampeni ya Ecobank inakuwezesha inayonuia kuinua uchumi wa wananchi binafsi pamoja na biashara kwa kusambaza ujuzi pamoja na kukusanya maoni ya wananchi na biashara ili kutoa huduma zinazoambatana na mahitaji ya jamii.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video