Sunday, July 21, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha Arsene Wenger  amepata pigo baada ya beki kisiki wa klabu hiyo, Laurent Koscielny kugongana na mlinda mlango Wojciech Szczesny na kuumia, hivyo atakaa nje ya uwanja katika mchezo wa kirafiki wa kesho mjini Nagoya.
Beki huyo  alitoka katika mazoezi mwishoni na kuonekana mwenye maumivu ya kifundo cha mguu.
Timu ya matibabu wa Asernal walimchunguza tatizo lake kabla ya kuondolewa katika dimba la Mizuno Rugby kwa ajili ya matibabu zaidi.
Inafahamika kuwa nyota huyo alikuwa na maumivu tangu wawasili ijumaa nchini Japan.
Hata hivyo Lukasz Fabianski au Damien Martinez watachukua nafasi ya  Szczesny katika mechi dhidi ya Nagoya Grampus.
Taarifa za kuumia kwa Koscielny zinamaanisha Wenger atamkosa moja ya mabeki wake wenye uzoefu, Per Mertesacker; katika ziara yake ya mashariki ya mbali, ingawa atamtumia zaidi kinda wake Ignasi Miquel 
Wenger tayari hanaye  Thomas Vermaelen, ambaye tupo nje ya uwanja kwa miezi mitatu.
Larking about: Laurent Koscielny was in high spirits in Sunday's training session before picking up a knock  Laurent Koscielny alikuwa katika morali kubwa katika mazoezi ya leo kabla ya kuumia 
Popular: Theo Walcott signs autographs for the baying fans in Nagoya Mtu maarufu: Theo Walcott akisaini vitabu vya kumbukumbu vya mashabiki mjini Nagoya
 
Arsene Wenger
Arsene Wenger
 Anatoa maelekezo:  Arsene Wenger akizungumza na mashabiki wakati wa mazoezi
Crowd control: Security guards hold back the fans as they await the stars' arrival Walinzi wakiwadhibiti mashabiki waliokuwa wanasubiri kuwasili kwa nyota wao kutoka kaskazini mwa Londo
Sign here: Bacary Sagna makes his way through the crowd before Arsenal's training session Mwaga wino hapa jamaa: Bacary Sagna akipita kwa taabu katika mkusanyiko wa mashabiki wa Arsenal wakati akiingia uwanja wa mazoezi  
Warming up: The Arsenal squad warm up before a training session in Japan Vijana wa Arsenal wakipasha moto misuli nchini Japan 
Happy to be here: England duo Alex Oxlade-Chamberlain and Theo Walcott pose for a photo during training
Furaha kubwa kuwepo hapa: Nyota wa England,  Alex Oxlade-Chamberlain na Theo Walcott wakipozi katika picha wakati wa mazoezi
All smiles: Lukas Podolski poses for the cameras from the team bus Tabasamu: Lukas Podolski akiwa katika basi na kukaa pozi la tabasamu na kupigwa picha
Happy snapper: Podolski turns photographer during a training session in JapanPodolski aligeuka mpiga picha wakati wa mazoezi nchini Japan
Watching on: Per Mertesacker during a training session in JapanAkitazama kwa umakini: Per Mertesacker wakati wa mazoezi nchini Japan
Majeruhi ya  Koscielny yatamfanya kocha Wenger aongeze haraka kumsajili beki wa muda mrefu ambaye amuwania kutoka Swansea City, Ashley,  Williams.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video