Sunday, January 27, 2013


1Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Ndugu Abdurahman Kinana akishuka kwenye treni mara baada ya kuwasili leo asubuhi kwenye kituo kikuu cha Reli ya kati cha mjini Kigoma a.k.a (Mwisho wa Reli) akiongozana na wajumbe wenzake wa Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Sekretarieti hiyo iliamua kusafiri kwa  jia ya Treni kutoka jijini Dar es salaam mpaka mkoani Kigoma ambako chama cha Mapinduzi kinaadhimisha miaka yake 36 Februari 3, Mwaka huu, kwenye uwanja wa Lake Tanganyika.
Lakini Pia Kinana amesema hii ni Kuunga mkono juhudi za Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe na wafanyakazi wa Shirika la Reli (TRL), kwa kuwa na moyo wa kizalendo na kuamua kusimama kidete katika kuhakikisha huduma ya chombo hicho muhimu kwa mikoa ya Magharibi Kinarudi na kuanza kufanya kazi.
12Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na wananchi waliojitokeza katika mapokezi mara baada ya kuwasili kwa treni na wajumbe wa Sekretarieti ya CCM mjini Kogoma leo asubuhi.
8Katibu Mkuu wa CCM Abdurahman Kinana na ujumbe wajumbe wenzake wakiwa kwenye kituo kikuu cha reli mkoani Kigoma mara baada ya kupokelewa na wananchi wakitokea jijini Dar es salaam, kulia ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha-Rose Migiro na Nape Nnauye Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Itikadi na Uenezi.

PICHA NA FULLSHANGWE BLOG

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video