Friday, December 28, 2012




Klabu ya African Lyon ya Dar es salaam inaendelea na mazoezi ikiwa ni wiki ya tatu sasa wakijiandaa na ngwe ya lala salama ya ligi ya Premia ya Tanzania bara.
AFRICAN LYON
 
Katibu mkuu wa klabu hiyo Ernest Brown amesema wameingia kambini mapema ili kupata mafanikio mazuri mzunguko wa pili wa ligi.
Pia amesema katika kukiongezea nguvu kikosi chao, wameongeza wachezaji watatu kutoka Yanga ambao ni Ibrahim Job, Shamte Ally na Juma Seif `Kijiko`.
Brown amesema wana imani wachezaji hao watawasidia sana kutokana na uzoefu walionao hao wachezaji kwani wanatoka timu kubwa ya Yanga.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video