Monday, September 12, 2016

MSHAMBULIAJI wa Azam FC na Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, John Raphael Bocco ndiye kinara wa ufungaji wa mabao ligi kuu soka Tanzania Bara mpaka sasa.
Bocco amezamisha kambani mabao matatu katika mechi nne alizocheza, akifuatiwa na Laudit Mavugo alifunga matatu pia kwenye michezo minne aliyokipiga na timu yake ya Simba, lakini  Bocco anakuwa juu yake kwasababu ya Tofauti ya Alphabeti ya mwanzo.
Laudit Mavugo
WAFUNGAJI 10 BORA 

NA

JINA

TIMU

IDADI YA MAGOLI

MECHI ALIZOFUNGA

1

John Bocco

Azam FC

3

Azam 1-1 African Lyon-Bao Moja


Azam FC 3-0 Maji Maji-Mabao mawili.

2

Laudit Mavugo

Simba SC

3

Simba 3-1 Ndanda-Goli Moja


Simba 2-1 Ruvu Shooting-Bao Moja


Simba 2-0 Mtibwa Sugar-Bao Moja.

3

Raphael Alpha

Mbeya City FC

3

Mbao 1-4 Mbeya City-Mabao mawili


Mbeya City 1-2 Azam-Goli Moja

4

Abdulrahman Mussa

Ruvu Shooting

2

Simba 2-1 Ruvu Shooting-Goli moja


Ruvu Shooting 1-0 JKT Ruvu-Bao moja.

5

Amissi Tambwe

Yanga SC

2

Yanga 3-0 Maji Maji-Magoli mawili

6

Deus Kaseke

Yanga SC

2

Yanga 3-1 African Lyon-Bao Moja


Yanga 3-0 Maji Maji-Goli moja

7

Ibrahim Hajib    


Simba SC

2

Simba 2-1 Ruvu Shooting-Bao moja


Simba 2-0 Mtibwa Sugar-Bao moja

8

Rashid Mandawa

Mtibwa Sugar

2

Mtibwa Sugar 2-1 Ndanda FC-Bao moja


Maji Maji 1-2 Mtibwa Sugar-Bao Moja

9

Abdallah Seseme

Mwadui

1

Mbao 0-1 Mwadui-Bao moja

10

Adam Kingwande

Stand United

1

Stand United 1-0 Toto African-Bao moja



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video