Monday, September 5, 2016

Thomas Muller ndiye alikuwa nyota wa mchezo, Ujerumani ikiichapa 3-0 Norway na kuwafanya waanze vizuri harakati za kuelekea kutetea taji lao la kombe la Dunia mwaka 2018 Nchini Urusi.
Mechi hiyo ya kundi C ya kuwania kucheza World Cup 2018 ilichezwa uwanja wa Ullevaal Stadion Mjini Oslo.
Thomas Muller and Joshua Kimmich celebrate the latter's goal to put Germany 2-0 up against Norway in Oslo
Mshambuliaji huyo wa Bayern Munich, alifunga mabao mawili na kutoa pasi murua ya mwisho kwa bao la Joshua Kimmich ambaye alicheza mechi yake ya kwanza katika kikosi cha wakubwa.
Kimmich salutes the Germany bench after doubling his country's lead just before the end of the first half against Norway

Germany breezed through their opening World Cup qualifier against Norway as they start the road to defending their title

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video