
Infantino, anaunga na boss wa Uefa aliyesimamishwa Mfaransa Michel Platini, kuwania nafasi hiyo kuongoza chombo hicho cha soka.
Huku rais wa shirikisho la soka la Asia Sheikh Salman bin Ebrahim Al Khalifa pia amethibitisha kuwania cheo hicho.
Wengine wanaowania kiti hicho cha urais wa Fifa ni Mosima Gabriel maarufu kama Tokyo Sexwale, wa Afrika Kusini Prince Ali Bin al-Hussein wa Jordan, David Nakhid, wa Trinidad and Tobago, Jerome Champagne Musa Bility na Segun Odegbami wa Nigeria
0 comments:
Post a Comment