Sunday, August 9, 2015


Yanga imezidi kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji baada ya kumnasa Matheo Anthony.

Huyu ni yule mshambuliaji hatari wa KMKM ya Zanzibar aliyeifunga Yanga kwenye Kagame Cup.


Lakini akapiga bao mbili wakati Simba ilipoifunga KMKM kwa mabao 3-2 katika mechi ya kirafiki mjini Zanzibar.



Matheo amesaini mkataba wa miaka miwili mbele ya Katibu Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha kuichezea Yanga.

Source:Salehjembe

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video