Thursday, August 13, 2015

Meneja wa timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Costa Rica, Paulo Wanchope amebwaga manyanga siku moja baada ya kuhusika na tukio la kupigana wakati wa mchezo huko Panama.
Paulo Wanchope mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Costa Rica aliyewahi pia kucheza ligi kuu nchini Uingereza katika timu za Derby County na Manchester City alikuwa akitazama timu yake ya taifa ya vijana walio chini ya miaka (23) wakati vurumai hizo zikizuka.
Paulo anaonekana katika mkanda wa video akiwa na hasira huku akifungua geti karibu na uwanja ambapo alianza kupambana na bwana mmoja kabla ya wanausalama kuingilia kati.
Vyombo vya habari nchini humo vimesema kuwa meneja huyo hakua na furaha na muamuzi wa mchezo huo,pamoja na hayo mchezo huo uliisha kwa matokeo ya bila kufungana.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video