Saturday, July 18, 2015

Radamel Falcao  kwasasa anakula bata na familia yake nchini Marekani baada ya kukumbwa na msimu mgumu wa 2014-15 akiichezea klabu ya Manchester United kwa mkopo kutokea Monaco ya Ufaransa.
Falcao, 29, ambaye alichemshana timu ya Taifa ya Colombia mapema majira haya ya kiangazi katika fainali za Copa America nchini Chile, amepigwa picha akiwa na furaha kubwa katika fukwe za Miami, Florida, Marekani sambamba na mke wake, Lorelei Taron na watoto wao wa kike Dominique na Desiree.
Mapema mwezi huu, Straika huyo alijiunga na Chelsea kwa mkopo kutokea Monacho na sasa anajiandaa kupambana ili kudhihirisha ubora wake katika ligi ya England.


The new Chelsea signing seemed to enjoy spending time with his children Dominique and Desiree 
Falcao ameonekana mwenye furaha sana wakati huu akipunmzika na watoto wake Dominique na Desiree 
Falcao is relaxing in the United States after a difficult 2014-15 season on loan at Manchester United
Falcao anakula bata Marekani baada ya kukumbwa na wakati Mgumu Manchester United msimu wa 2014-15 
Falcao went topless as he enjoyed a day on the beach in Florida
Mtu na mke wanakula raha zao 
The former Atletico Madrid man sported a pair of fetching sunglasses as he took a phone call in the shade
A formidable presence on the pitch at his best, Falcao showed off his softer side as he cradled his youngest

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video