Kocha wa Simba, Dylan Kerr leo majira ya asubuhi alijumuika na wachezaji wake kufanya mazoezi katika fukwe za Coco 'Coco Beach' huku akiwa kifua wazi ikiwa ni muendelezo wa programu za mazoezi ya ufukweni kwa klabu hiyo. Yanga na Azam pia kwa wakati wao walifika katika fukwe hizo kwa ajili ya kufanya mazoezi.
Home
»
KITAIFA
» MCHEKI KOCHA WA SIMBA NAMNA ALIVYOJUMUIKA NA WACHEZAJI WAKE KATIKA MAZOEZI YA LEO COCO BEACH
Saturday, July 4, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment