Thursday, June 11, 2015

Shirika la utangazaji BBC limeripoti kuwa Mshambuliaji wa Platinum FC ya Zimbabwe, Donaldo Ngoma anatarajiwa kuwasili Tanzania kwa ajili ya kukamilisha mazungumzo ya kujiunga na mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga.
Mchezaji huyo anatarajiwa kuwasili Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa, kwa mujibu wa uongozi wa Yanga.

Yanga, wakiwa na kibarua cha kuiwakilisha Tanzania katika michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika mwakani, ipo katika mchakato wa kusajili wachezaji mahiri kwa ajili ya msimu ujao wa 2015/16 wa ligi kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa.


Yanga ilivutiwa na Ngoma wakati ilipocheza na Platimun FC katika mechi za awali za Kombe la Shirikisho mwaka huu na kuitoa timu hiyo kutoka kusini mwa Afrika.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video