
De Gea amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake na amethibitisha kuanza kufikiria hatima yake hususani kutimkia Madrid.

Akizungumza na Spanish TV, Van Gaal amesema: "Sitaki kuzungumzia ishu hii kupitia vyombo vya habari. Nitazungumza na wakurugenzi wangu, sio vyombo vya habari".
Ripoti zinaeleza kwamba United wanajaribu kubadilishana na Sergio Ramos, lakini vyanzo vya habari vinasema Real Madrid hawako tayari kumhusisha mlinzi huyo wa kati.
0 comments:
Post a Comment